close
Nenda kwa yaliyomo

Utah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
BERJAYA
Sehemu ya Jimbo la Utah
Utah
BERJAYA
Bendera
BERJAYA
Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Salt Lake City
Eneo
 - Jumla 219,887 km²
 - Kavu 212,751 km² 
 - Maji 7,136 km² 
Tovuti:  http://www.utah.gov/

Utah ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Salt Lake City (mji ya ziwa wa chumvi). Imepakana na Idaho, Wyoming, Colorado, Arizona, na Nevada. Jimbo lina wakazi wapatao 2,736,424 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 219,887. Tangu 1896 eneo lilipata hali ya jimbo la kujitawala.

Gavana amekuwa tangu Agosti 2009 Gary Richard Herbert.

BERJAYA

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
BERJAYA
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

BERJAYA Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Utah kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.