close
Nenda kwa yaliyomo

Des Moines, Iowa

BERJAYA
Mji wa Des Moines, Iowa
Des Moines, Iowa
BERJAYA
Bendera
Des Moines, Iowa is located in Marekani
Des Moines, Iowa
Des Moines, Iowa

Mahali pa mji wa Des Moines katika Marekani

Majiranukta: 41°20′27″N 93°37′15″W / 41.34083°N 93.62083°W / 41.34083; -93.62083
Nchi BERJAYA Marekani
Jimbo BERJAYA Iowa
Tovuti:  www.dmgov.org
BERJAYA
Mahali pa Des Moines katika Iowa na Polk County

Des Moines ni jina la mji mkuu wa jimbo la Iowa nchini Marekani. Mji wa Des Moines ulianzishwa mnamo mwaka wa 1843 mahali ambapo Mto Raccoon na Mto Des Moines inapokutana. Mji wa Des Moines umekuwa mji mkuu wa Iowa mnamo mwaka wa 1857.

Leo hii mji wa Des Moines umekuwa mji mkubwa kabisa katika jimbo hili la Iowa likiwa na wakazi takriban 194,163 mnamo mwaka wa 2005.

BERJAYA
Ikulu ya jimbo la Iowa

Des Moines ina makampuni meengi ya bima huko mjini kwake.



Miji mikuu ya majimbo ya Marekani

Alabama Alaska Arizona Arkansas California Colorado Connecticut Delaware Florida Georgia Hawaii Idaho Illinois Indiana Iowa Kansas Kentucky Louisiana Maine Maryland Massachusetts Michigan Minnesota Mississippi Missouri Montana Nebraska Nevada New Hampshire New Jersey New Mexico New York North Carolina North Dakota Ohio Oklahoma Oregon Pennsylvania Rhode Island South Carolina South Dakota Tennessee Texas Utah Vermont Virginia Washington West Virginia Wisconsin Wyoming

41°20′27″N 93°37′15″W / 41.34083°N 93.62083°W / 41.34083; -93.62083

BERJAYA Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Des Moines, Iowa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.