Mkoa wa Estuaire
Mandhari

Makala hii inahitaji vyanzo zaidi ili kuwezesha kuonyesha uthibitisho. |
Estuaire ni moja kati ya mikoa tisa ya nchini Gabon. Mkoa una eneo la kilomita za mraba zipatazo 20,740. Mji mkuu wa mkoa huu ni Libreville, ambao pia ndio mji mkuu wa nchi. Mkoa umepewa jina hili kwa ajili ya mdomo wa Mto Gabon, ambao ndio moyo wa mkoa huu.
Ukingo wa magharibi mwa Estuaire ni pwani ya Ghuba ya Guinea. Kwa upande wa kaskazini, Estuaire imepakana na Jamhuri ya Guinea ya Ikweta: Mkoa wa Litoral kwa upande wa kaskazini-magharibi, na Mkoa wa Centro Sur kwa upande wa kaskazini-mashariki. Kwa nyumbani, mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:
- Woleu-Ntem - mashariki
- Moyen-Ogooué - kusini
- Ogooué-Maritime - kusini-magharibi
Wilaya
[hariri | hariri chanzo]
Estuaire imegawanyika katika wilaya 5:
- Komo Department (Kango)
- Komo-Mondah Department (Ntoum)
- Noya Department (Cocobeach)
- Cap Estérias Department (Cap Estérias)
- Komo-Océan Department (Ndzomoé)
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]0°23′40″N 9°25′45″E / 0.39444°N 9.42917°E
| Makala hii kuhusu maeneo ya Gabon bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkoa wa Estuaire kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
