Kastulo
Mandhari

Kastulo (alifariki Roma, Italia, 286 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa kuzikwa hai wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].
Inasemekana alikuwa na cheo katika ikulu na mume wa Irene wa Roma. Baada ya kuongokea Ukristo alivuta wengi katika dini hiyo[2] na kuficha nyumbani mwake waliotafutwa na serikali kwa ajili ya imani yao[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/47160
- ↑ "Santos". ACI Prensa. 2007-07-29. Iliwekwa mnamo 2011-06-27.
- ↑ Ebenezer Cobham Brewer, A Dictionary of Miracles: Imitative, Realistic, and Dogmatic (Chatto and Windus, 1901), 11.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- St. Castulus
- (Kijerumani) Castulus (Kastulus)
- (Kicheki) SV. HAŠTAL (KASTUL)
- (Kihispania) San Castulo, Mártir
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
