Kadri Prishtina
Mandhari
Kadri Prishtina (1878 – 20 Januari 1925), anajulikana zaidi kama Hoxha Kadri, alikuwa mwanasiasa wa Albania mwanzoni mwa miaka ya 1920.[1]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Robert Elsie (2010), Historical Dictionary of Albania, Historical Dictionaries of Europe, juz. la 75 (tol. la 2), Scarecrow Press, uk. 371, ISBN 978-0810861886
| Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kadri Prishtina kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
